Vibweka uzunguni Joto City !!!

Wanawake wa ushuani hawana mpododo mkubwa kama wa uswaz.

Nadhani ni kwasababu wa ushuani wanakula zaidi healthly mfano chips zao zimekauka kuliko uswaz ambapo wanakula sana mafuta ukikuta chips imejaa mafuta....wanatengeneza fat kubwa mwilini hence mpododo mkubwa.

Huamini kaangalie chips za Uswaz na za KFC ufananishe
 
Kuna kaukweli.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…