Jitahidi mkuu uanze hata kuvaa sandals kabla mwaka haujaisha kumbuka kuna kwenda ukweni?
Mkuu nimeshusha mali nimeshindwa tu kukutagShusha mali mzee tunasubiri tuone mzigo
Poa mkuu ngoja nipitie
Mbona hata humu napata wateja mkuuViatu vimechoka sana havina swaggaz....ni vya ki-local sana
Nakushauri tafuta mnada uwe unapeleka kuuza huko utapata wateja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nijitahidi basiiiiiihJitahidi mkuu uanze hata kuvaa sandals kabla mwaka haujaisha kumbuka kuna kwenda ukweni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Airmax kalii ya mtumba
Size:44
Price:30,000/=View attachment 1386836View attachment 1386837View attachment 1386838
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukipata 46 nshtueKwa wale wa namba kubwa mzigo huo hapo
Size:44
Price:30,000/=
Unaletewa popote kwa dar
Piga:0624463956View attachment 1319098View attachment 1319099View attachment 1319100View attachment 1319101
Sent using Jamii Forums mobile app
wabongo bhana, isikute hapo unaishi kwa shemeji yako na ndie anakulisha , anakuvisha na kukupa hela ya bando ya kuingia JF kuharibu biashara za watu, PERIODViatu vimechoka sana havina swaggaz....ni vya ki-local sana
Nakushauri tafuta mnada uwe unapeleka kuuza huko utapata wateja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzigo huoo
Price:35,000/=
Free deliveryView attachment 1480279View attachment 1480280View attachment 1480282
Kuna jamaa yangu mmoja yuko mlango mmoja, hivo viatu vyake vya kawaida ila sasa beiMhh!..mbona hudaki viatu vzr mkuu?? Uwe unawahi unapata mzigo mzur
Biashara ya mtumba inatakiwa kujituma balaa!.. na usiwe na roho mbaya watakubania!..dah sandle7000 yeye alitaka kwa 45? DuhKuna jamaa yangu mmoja yuko mlango mmoja, hivo viatu vyake vya kawaida ila sasa bei,,
Bei ilikuwa poa miaka ya nyuma unapata kiatu kweli ila kwa sasa labda uwe karibu na wale wafungua mizigo ndo upate mzigo wa kueleweka,, jana tu nimechukua sandroz moja matata kwa bei ya buku 7 made in Italia tu,, lakini kwa pemben kuna jamaa mmoja alikuwa yuko tayari atoe elfu 45 ili yeye akauze elf 75,, ila Muuzaji akamwambia huyu dogo langu amekuwai,
Nikasema duh, watu wanapigwa aiseh,,
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Huwa sipendi kukomenti kwenye huu uzi wa mwamba, maana ninafahamu nitatukanwa ama kuonekana mwenye wevu pindi tu nitakapo andika ukweli ninao uona hapaMhh!..mbona hudaki viatu vzr mkuu?? Uwe unawahi unapata mzigo mzur
Hamna mkuu wala hutaonekana mwenye wivu kila mmoja na mtazamo wake ni kawaida kwa jamii yoyote iliyo staarabika hasa hapa jfHuwa sipendi kukomenti kwenye huu uzi wa mwamba, maana ninafahamu nitatukanwa ama kuonekana mwenye wevu pindi tu nitakapo andika ukweli ninao uona hapa
Sawa mkuu, ebu jitahidi basi kutupia bidhaa classic ili walau picha ziendane na hii thread yako.Hamna mkuu wala hutaonekana mwenye wivu kila mmoja na mtazamo wake ni kawaida kwa jamii yoyote iliyo staarabika hasa hapa jf