Leo nimeenda kigambon nimeskia harufu mbaya pale mlangon karib na sehem ya
kuzia tiket (mlangoni) iv maguful halijui hili au ndio 2pige mbizi cc wengine akina masawe maji hatuyawez? Yani
haruf mpaka mwenzangu katapika.
Leo nimeenda kigambon nimeskia harufu mbaya pale mlangon karib na sehem ya
kuzia tiket (mlangoni) iv maguful halijui hili au ndio 2pige mbizi cc wengine akina masawe maji hatuyawez? Yani
haruf mpaka mwenzangu katapika.
Yaelekea hujapita siku nyingi ile harufu mbona ni ya kila siku halafu ni ya kawaida tu, wenyewe unawakuta wanakula hata habari hawana yaani wameizoea harufu hata hawaisikii tena