Uuh.. Huyu msichana mpya hapa ofisini...


Nakuhakikishia hapo kwenye red hapo, ni kwa sababu una vijisent vya kutosha ndo mana anakuhangaikia.
 

kaka linda sana mmoyo wako kuliko vyote ulindavyo na pia jua kuwa ulikula kiapo juu ya mke wako wa halali sasa hao wanaokuja hujui katoka wapi na anlengo gani na wewe hana hata aibu mwambiie shetani rudi nyuma
 

Mkuu hapa umemaliza hili linatugusa wengi sana ili kupunguza stress home inakubidi uangalie ustaarabu mwingine.
 
Je anaenda choo au hapo Ofisini hakuna mchunguze, MUNGU kaumba wote sawa, Mwl wangu wa Sociology alinifundisha mwanamke mzuri duniani ni yule uliyenae anayekujali nakukuhudumia kwani umesema upo katika Ndoa.
Piga C..ndom ipo siku kitalia na ww utalia na mke tu yeye hatakuja asilani hapo wodini kukugeuza na kuku...mba .av....
Funguka achana na hivyo vinyamkera tafuta Bum hata la kupiga hapo ofisini mhonge hata kiasi cha GX 100 halafu test harufu ileile!!! km hukujutia Chiaooooo
 
tatizo la mabinti wenye mbwembwe nyingi kama hao unaweza ukala mzigo and then ukaanza kujuta kwamba she wasn't worth all the efforts kwa jinsi mzigo wenyewe ulivyokuwa so sub-standard
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…