Pole mkuu, omba Mungu muwe hamkuomba wengi katika hiyo post kwani huwa wanataka uandike juu ya bahasha ili kuepusha usumbufu wa kuchambua bahasha hii ni kwa ajili ya post gani. Kuna rafiki yangu alisahau kama wewe lakini aliitwa. Cha msingi ujitahidi siku nyingine ususahau.
Hiyo point si lazima barua uandike kwa mkono, huwa naomba UTUMISHI barua zangu zote huwa naprint na nimeshauzuria sahili kwa kila niloomba sema bahati si yangu ila Usaili kama kawa kama dawa.Kati ya sehemu rahisi kupata kazi hapa Tanzania ni kwa kupita utumishi, utumishi hawajali una GPA ya ngapi, wewe ni wa wapi, umetoka chuo gani(provided inatambulka na TCU).
Mimi ni mmoja kati ya watu niliopata ajira kupitia utumishi na pia marafiki zangu wengi wamepata kwa kupitia utumishi.
back to your request, ili kuitwa kwenye interview ya utumishi( 1st interview) lazima uwe umetimiza masharti yaliyowekwa kwenye tangazo( application tu ya kazi ni first of first interview) ama pia ni sehemu ya mchujo kwani watu ni wengi wanao apply.
Ndugu ni vigumu sana kuitwa kama hukuzingatai utaratibu wa tangazo, but i hope utapata kazi soon kupita utumishi provided umezingatai msharti ya tangazo, Nimeamu kukuambia kwa undani kwani nakumbuka sikuitwa na TAKUKURU kisa niliandika barua kwa kutype.
Main things ya kuzingatia wakati unapeleka barua posta ya kuombea kazi utumishi;
1. Umeandika barua na mkono
2. Umeambatanisha copy ya vyeti husika tu
3.Umeatach vyeti kwa pamoja
4.Umeandika apl juu ya bahasha.
5. Umetuma kwa anuani sahihi ya utumishi
6,umetuma kwa njia ya anuani ya kawaida i mean do not send via EMS,register,
7. Kumuomba Mungu ifike salama.
Nice application na karibu kazini
Hiyo point si lazima barua uandike kwa mkono, huwa naomba UTUMISHI barua zangu zote huwa naprint na nimeshauzuria sahili kwa kila niloomba sema bahati si yangu ila Usaili kama kawa kama dawa.
but barua ya kazi inatakiwa iwe handwritten
tuma application nyinginejamani niliomba kazi utumishi tangazo la tarehe 25 sep 2014 ingawa bado mpaka sasa hatujaitwa kwenye usaili , kuna kitu nahisi wanaweza wasiniite kwenye usaili nilisahau kuandika kazi ninayoomba juu ya bahasha.....niliposoma maelezo yao usipoandika kazi unayoomba juu bahasha , barua yako inakuwa invalid. mwenye uzoefu anisaidie
tuma application nyingine
but barua ya kazi inatakiwa iwe handwritten
jamani niliomba kazi utumishi tangazo la tarehe 25 sep 2014 ingawa bado mpaka sasa hatujaitwa kwenye usaili , kuna kitu nahisi wanaweza wasiniite kwenye usaili nilisahau kuandika kazi ninayoomba juu ya bahasha.....niliposoma maelezo yao usipoandika kazi unayoomba juu bahasha , barua yako inakuwa invalid. mwenye uzoefu anisaidie
Huwwz itwa ht ukaenda kukesha kwa mganga
kama hujaandika post unayoomba juu ya bahasha ni kwamba haifunguliwi.. Inatupwa
Ukisema hivyo unakosea kuifungua lazima wataifungua kwa sababu hawajui imetoka wapi na kwanani siyo barua zinazowafikia ni za-maombi ya kazi