UTAPELI KUPITIA TIGO/MPESA
hivi ni kweli serikali haiwezi kudhibiti hili?hivi ni kweli MTU hawezi kuripoti namba iliyomfanyia utapeli ikazuwiwa?au tatizo wananchi hawajuwi jinsi ya kufanya?na kwa nini tigo/mpesa haandiki wakala wa kuchukulia wa pesa
UTAPELI KUPITIA TIGO/MPESA
hivi ni kweli serikali haiwezi kudhibiti hili?hivi ni kweli MTU hawezi kuripoti namba iliyomfanyia utapeli ikazuwiwa?au tatizo wananchi hawajuwi jinsi ya kufanya?na kwa nini tigo/mpesa haandiki wakala wa kuchukulia wa pesa