Hivi hawa jamaa ambao wanakosaga nafasi za kujiunga na Jeshi na kuishia kuwa Walinzi wa magetini huwaga ni stress zinawasumbua au????Yani kama ni vyuoni jamaa wasumbufu balaa wanaweza kukukomalia utoe kitambulisho akati wengine wanapita tuu... Kwenye maofisi ndo balaa wanapenda Kuabudiwa sanaa yani utadhani wanaimiliki dunia wakikaa kulinda yale magetiWajirekebishe.
Ushawahi Kupata Usumbufu wa Suma JKT???