chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 20
- Thread starter
-
- #21
ameyarudia tena ZDLakn huyu mbona alitutangazia Nia ya kuacha mabo haya? au amerudi tena?
Wanasema vyama pinzani havidumu mifarakano ya kugombania madaraka haishi bora ukae tu hapa hapa uendelee kula pensheni yakoKha! vingine naweza kubadili lakini hapo juu mmmh :confused2:
Huyu ni mwanamaombi wa ISC kwahiyo tegemea kupata jibu zuriNasubili maombi ya Rev. Masanilo
Mwanachama na kiongozi hawezi kukushauri utoke nje ya kundiNasubili ushauri wa Asprin je upo tayari nipotee kundini?
Nimeongea nae kwenyeNasubili baba wa infidelity papaa Teamohone:amesema usifuate nyayo za kina KIYABO wa CCJ huko hautadumu milele
Anamalizia kuandaa mwongozo ambao utakupa majukumu mengi zaidiNamsubili mtaalamu mwenyewe Kaizer
Na wengineo jamani huu ushauri kwa kweli mgumu.
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.ray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)
hivi Fidel80 ulishaoa?najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.ray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)
i hope wadau kutoka chama pinzani watanisaidia, ila nawewe ukiona nimezidiwa unisaidie bana:smile-big::smile-big:
:confused2::confused2: NGOJA NIKU :A S 100: manake naona maneno hutanielewa vizuri. Hii thread ni tishio kwa chama!:confused2::confused2:
Aah hilo toa shaka kabisa...
Yaani sisi tupo na wewe all the way!!
Nice move...
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.ray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)
Dah hadi vidole vya mguuni vimesisimuka
hivi Fidel80 ulishaoa?
Ah nilisahau kuwa kuna mipira ya bedtenis, lakini this time nakuhakikishia kosa hilo sitalirudia tena. nitahakikisha kuwa mshauri utakayemtuma hayupo kwenye danger days ili kuondoa ushahidi.ROFL! kibali cha kutotumia mipira ulikipatia wapi? Hicho kwa mujibu wa kanuni lazima kisainiwe na viongozi waandamizi:becky::becky:
Sasa itabidi niokoke kwa muda
Unajua mimi na wewe ni kama mfagio na vumbi kwahiyo sikuachii till the last drop:becky::becky::becky::becky:
Amen!! tuone na matendo pia...fuatilia maombi ya TB Joshua from Nigeria lengo lako la kuokoka litazaa matunda...na valuu ukisikia hata harufu yake utatapika mpaka mautumbo...all the best...
Amen!! tuone na matendo pia...fuatilia maombi ya TB Joshua from Nigeria lengo lako la kuokoka litazaa matunda...na valuu ukisikia hata harufu yake utatapika mpaka mautumbo...all the best...
Mbado nipo nipo kwanza...
Ningekuwa tayari si ningetangaza hapa
Wakati naoa nataka niwe na watoto 6 wa nje bado hawajatimia idadi
Avatar yako na maneno yako haviendani unafaa kuwa ISC
Avatar yako na maneno yako haviendani unafaa kuwa ISC
wamefika wangapi mpaka ss?
Sasa itabidi niokoke kwa muda