kawaida sana, takwimu zinaonesha kila mwanaume amezungukwa na wasichana watano, hii imetokana na ugonjwa wa malaria kuwazidi watoto wa kiume kuliko wa kike(resistant to malaria), na hata hivyo wanaume wengi huwa na uwezo wa kuzaa watoto wa kike kwa maana kati ya X NA Y, X HUWA NA NGUVU KULIKO Y(SABABU YA JOTO NA ZINGINE)......SASA MWANAUME HAKUBALI ANAZAA WA 1 KE, 2KE, 3KE, 4KE....JUHUDI ZOTE ANATAFUTA WA KIUME. ndiyo maana unakutana na watoto wa kike wengi kuliko wa kiume, "PROFESSIONAL GROWTH DEPEND ON CRITICISM"