J Jehovah Shamah Member Joined Aug 29, 2016 Posts 18 Reaction score 10 Mar 27, 2018 #1 Usihukumu wakati hujafanya uchunguzi, Hujafanya utafiti huna haki ya kusema. Huna takwimu huwezi kujenga hoja. Muwr na pasaka njema tuombee amani ya nchi yetu.
Usihukumu wakati hujafanya uchunguzi, Hujafanya utafiti huna haki ya kusema. Huna takwimu huwezi kujenga hoja. Muwr na pasaka njema tuombee amani ya nchi yetu.
Abu_yazid JF-Expert Member Joined Mar 28, 2014 Posts 3,435 Reaction score 4,254 Mar 27, 2018 #2 Ahsante kwa ushauri
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,402 Reaction score 12,787 Mar 27, 2018 #3 Jehovah Shamah said: Usihukumu wakati hujafanya uchunguzi, Hujafanya utafiti huna haki ya kusema. Huna takwimu huwezi kujenga hoja. Muwr na pasaka njema tuombee amani ya nchi yetu. Click to expand... Hukusema ujumbe huu umwendee nani! Kina Lazaro mbona wanahukumu na kujenga hoja bila kuwa na data na bado wanaita ramli walizotumia kutoa hukumu kwamba ni za kisayansi?
Jehovah Shamah said: Usihukumu wakati hujafanya uchunguzi, Hujafanya utafiti huna haki ya kusema. Huna takwimu huwezi kujenga hoja. Muwr na pasaka njema tuombee amani ya nchi yetu. Click to expand... Hukusema ujumbe huu umwendee nani! Kina Lazaro mbona wanahukumu na kujenga hoja bila kuwa na data na bado wanaita ramli walizotumia kutoa hukumu kwamba ni za kisayansi?
N Nathan James Member Joined Apr 12, 2017 Posts 59 Reaction score 28 Mar 27, 2018 #4 Jehovah Shamah said: Usihukumu wakati hujafanya uchunguzi, Hujafanya utafiti huna haki ya kusema. Huna takwimu huwezi kujenga hoja. Muwr na pasaka njema tuombee amani ya nchi yetu. Click to expand... USHAURI Mzuri sana NAshukuru sana
Jehovah Shamah said: Usihukumu wakati hujafanya uchunguzi, Hujafanya utafiti huna haki ya kusema. Huna takwimu huwezi kujenga hoja. Muwr na pasaka njema tuombee amani ya nchi yetu. Click to expand... USHAURI Mzuri sana NAshukuru sana
J Jehovah Shamah Member Joined Aug 29, 2016 Posts 18 Reaction score 10 Mar 27, 2018 Thread starter #5 Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. Karibu Dodoma
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 28,749 Reaction score 91,825 Mar 27, 2018 #6 Sawa asante kwa ujumbe