Ushauri pass za form 4 kwenda chuo kikuu

Chuo gani ulisoma? na O Level una 5 PASSES?
 
Ila guide book inasema 4 passes d and above me kwa uelewa wng uwe na pass zisizopungua 4 kuanzia d na kuendelea sasa kama una c mbili na d moja means una pass 3 tu uja meet requirement hapo ndio uelewa wng
 
Ila guide book inasema 4 passes d and above me kwa uelewa wng uwe na pass zisizopungua 4 kuanzia d na kuendelea sasa kama una c mbili na d moja means una pass 3 tu uja meet requirement hapo ndio uelewa wng
YA NIKWEL HATA UWE NA A MBILI BADO VIGEZO
VIGEZO NI KUANZIA NA PASS4 NA KUENDELEA
 
Ila guide book inasema 4 passes d and above me kwa uelewa wng uwe na pass zisizopungua 4 kuanzia d na kuendelea sasa kama una c mbili na d moja means una pass 3 tu uja meet requirement hapo ndio uelewa wng
YA NIKWEL HATA UWE NA A MBILI BADO VIGEZO
VIGEZO NI KUANZIA NA PASS4 KWA KIWANGO CHA D NA KUENDELEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…