Ushauri kwa mmakonde mwenzangu Harmonize


Mkuu kama kuna nia ya dhati ya mahusiano si Tatizo, Tatizo ni kuwa wana mahusiano ambayo hayaja barikiwa na ndoa..

Kama ni umri si kigezo maana hata Mtume Muhammad alioa mke wake wa kwanza Khadija, akiwa amezidiwa miaka 15...
 
Kwa hiyo umeshindwa kutafsir nkudi au unadhan ni neno la kiswahili? Ha ha
 
Yaani mniskitika sana, lisiku limu vanimhoji na milard ayo mkuchi nang"e bado mjoko akaweza kuva na mmahe hambi nelo panimmona na aneyo LIKAVENGA lya mwanza yaani nangu kusikitika namene
Apilikane mlongo wetu...teh teh..
 
Baraka da prince tena ayaa si yupo na naji au na Idris bado yupo na wema kwa
 
ngong'e ndaona songu mnchaga nang'e nguhola hera
 
hahahahahahahaha
ukisimama nchale
ukikimbia nchale
ukikaa nchale
 
Hahaha!!! Duh!! Ungemwambia kwa kiswahili asingekuelewa kabisa,ila hongera umemkumbusha kinyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…