Hapana mkuu, mimi sijui kuimba, ila nataka niwe nakodisha vifaa vya muziki kwenye matukio mbalimbali. Hapo nitatoa ajira kwa DJ na kijana mwingine wa kusaidia kazi ndogondogo.
Kama kutakuwa na deal zaidi kutakuwa na ajira ya MC pia.
Sent using
Jamii Forums mobile app