Usaili NMB-Mwanza

Habari za usiku wapenda? Hope mko poa!! Jaman kwa aliefanya written interview ya nmb bank lake zone, nani anatetesi za posti zipo ngapi, na lini wanatoa majibu ya written interview!

yamebandikwa pale kenyata branch jana jioni nenda kachek jina lako tu mkuu
 
yamebandikwa pale kenyata branch jana jioni nenda kachek jina lako tu mkuu

Katika msafara wa Mamba kenge hawakosi!

Mtu yuko serious zen unajibu ujinga tu!

Walisema watapiga simu ukiwa umefaulu for next interview,sasa wewe unaposema wamebandika names kenyata branch una fikiri kwa kutumia m.a.k.a.l.i.o!!
 
Katika msafara wa Mamba kenge hawakosi!

Mtu yuko serious zen unajibu ujinga tu!

Walisema watapiga simu ukiwa umefaulu for next interview,sasa wewe unaposema wamebandika names kenyata branch una fikiri kwa kutumia m.a.k.a.l.i.o!!

kama una ndugu mwanza muagize akakuangilizie jina lako na akikuta hayo majina ww ndiyo utakuwa unafikiria kwa njia uliyotaja hapo juu
 
Ha! makubwa , hawawezi kutundanganya bana situnasubiri sim zao kama walivyo sema. Iweje wabandike majina bila taarifa? Istoshe mi nipo mwanza ngoja nitafute ukweli kuhusu taarifa hizi.
 
Acha kudanganya watu....hawajabandika wala nn!!! nimefika nmb branch zote za mza kenyata,PPf na zonal hamna kitu kama iyo!!! be seriously mkuu watu wanategemea jukwaa kupata info ambazo zitawasaidia kwenye mustakabali wa maisha yao we unaleta masihara
 
Hakuna ktu kama hcho.walisema watapga cmu na ni baada ya wk mi nipo mza
 
Nimeuzika sana ckujua Kama kuna watu wanna jokes kwenye seriousness huyu jamaa anaedai majina yamebandikwa ntamtukana baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhan kupita
 
KAKA YAKO NAPITA anasumbuliwa na utoto mwacheni akikua ataacha,hayupo Mwanza anachotaka aonyeshe kuwa anaifahamu Mwanza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…