Nicholaus Kilunga
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 1,188
- 570
Huyu hawezi kuwa kwenye chama cha abakorakamo.
Kwanza ni Mkristo, Pili hatokei UJIJI, tatu sio msukule wa yule mwana msaliti wa Mwandiga
ACT ni chama cha watu wa dini na kabila zote, act sio wabaguzi kama chadema
Chama kimeasisiwa Msikitini UJIJI na mkapewa sharti la kutumia Nyota kiwe chama cha dini zote? Salum Mwigamba ni dini gani?
Chama kimeasisiwa Msikitini UJIJI na mkapewa sharti la kutumia Nyota kiwe chama cha dini zote? Salum Mwigamba ni dini gani?
dah mnamchagua mtu wa EDUCATION mnamuacha MWANASHERIA,
Siafadhali ni mwanasheria anayesomea saut,kuliko ww kilaza wa sheria ya MUCCOBS
Siafadhali ni mwanasheria anayesomea saut,kuliko ww kilaza wa sheria ya MUCCOBS
Hahahah SAUT LL.B wanachukua vilaza ajabu nina rafiki yangu ana iii.17 yuko pale SAUT yaani hiki chuo cha SAUT kinadhalilisha kozi ya LL.B wanachukua wanafunzi vilaza sana yani uelewa wao ni mdogo sana kwenye SHERIA kuna siku nilikuwa MAHAKAMANI kulikuwa na wanafunzi wa SAUT LL.B (wahitimu) ,walikuwa wanajadili general defences against criminal liability walikuwa hawazijui kabisaaa duh nikajiuliza hili swali mbona rahisi sana? nikahisi kama wana certificate kumbe ni degree SAUT(LL.B) duh nikasema kweli SAUT ni chaka la vilaza
Uwe unapenda kutumia sana kichwa cha juu kuliko cha chini kufikiri kabla hujacomment!!!!
Hahahah umeumia eeh
Hahahah SAUT LL.B wanachukua vilaza ajabu nina rafiki yangu ana iii.17 yuko pale SAUT yaani hiki chuo cha SAUT kinadhalilisha kozi ya LL.B wanachukua wanafunzi vilaza sana yani uelewa wao ni mdogo sana kwenye SHERIA kuna siku nilikuwa MAHAKAMANI kulikuwa na wanafunzi wa SAUT LL.B (wahitimu) ,walikuwa wanajadili general defences against criminal liability walikuwa hawazijui kabisaaa duh nikajiuliza hili swali mbona rahisi sana? nikahisi kama wana certificate kumbe ni degree SAUT(LL.B) duh nikasema kweli SAUT ni chaka la vilaza
chadema kimeanzishwa kanisani kwenye kigango cha katoliki, kinaongozwa na padri alieasi na kupora mke wa mahimbo
Umesahau kuwa mbowe ni lutheran...mtei lutheran...makani mwislamu....katoliki wapi apo??? Au slaa ndo mkuu wa chama