Ndugu kwa hiyo ya Kasulu nilisikia mtu amenambia amefanya coz tulikutana anae kwenye interview ya ile post ya Dar-Associate protection Officer tulliitwa interview tar 9 Mwezi huu ,it was written lakin hadi leo majibu hatujapewaaaaa.tulikuwa kumi na kila mtu ana CV babu kubwa..wenye masterz hayaaaaaa,mawakili hayaaaaaaaaaaa..lets wait n c who wil b shortlisted for oral tho tetesi kuna mtu tayar yuko likely kupata(alishawah kufanya miaka ya nyuma)..Tanzania zaidi uijuavyo so tuendelee kuwa na subiraaaa