Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,906
Bujibuji amezaliwa enzi za chama kimoja,
kaunda sana magari ya waya,
kacheza sana vinyengo, madaso a.k.a chandimu.
Kala sana kabunguja, na magili ya samaki.
Katumia sana maneno tekude, kishtobe, gashi, kumaanisha wanasichana.
katumia sana maneno ndata, mwela, boykaka, kumaanisha polisi.
Nimetumia sana misamiati ya kudinyanyana, kufanya matusi, kurukia etc kwa maana ya kufulungunyuka
kanywa sana pawa namba wani, nyuki ya dokta, ila hakubahatika kunywa kadansana.
Ahhh nimetaja kadansana tayari stimu zimepanda na nimesha sahau nilichikuwa naandika
Heh ha aha aha aha kweli wewe wa kitambo ingawa hili neno still linatumika.:A S thumbs_up:
Bujibuji amezaliwa enzi za chama kimoja,
kaunda sana magari ya waya,
kacheza sana vinyengo, madaso a.k.a chandimu.
Kala sana kabunguja, na magili ya samaki.
Katumia sana maneno tekude, kishtobe, gashi, kumaanisha wanasichana.
katumia sana maneno ndata, mwela, boykaka, kumaanisha polisi.
Nimetumia sana misamiati ya kudinyanyana, kufanya matusi, kurukia etc kwa maana ya kufulungunyuka
kanywa sana pawa namba wani, nyuki ya dokta, ila hakubahatika kunywa kadansana.
Ahhh nimetaja kadansana tayari stimu zimepanda na nimesha sahau nilichikuwa naandika
Bujibuji amezaliwa enzi za chama kimoja,
kaunda sana magari ya waya,
kacheza sana vinyengo, madaso a.k.a chandimu.
Kala sana kabunguja, na magili ya samaki.
Katumia sana maneno tekude, kishtobe, gashi, kumaanisha wanasichana.
katumia sana maneno ndata, mwela, boykaka, kumaanisha polisi.
Nimetumia sana misamiati ya kudinyanyana, kufanya matusi, kurukia etc kwa maana ya kufulungunyuka
kanywa sana pawa namba wani, nyuki ya dokta, ila hakubahatika kunywa kadansana.
Ahhh nimetaja kadansana tayari stimu zimepanda na nimesha sahau nilichikuwa naandika
ili inoge unaachia kitu ass ass ass ass ass ass ass ass ass.Tena nimedinyana cha nguonguo kwenye mapagala
umetisha sanaili inoge unaachia kitu ass ass ass ass ass ass ass ass ass.
Bila shaka Bujjie aliishi Arusha wakati wa udogo wake...
ili inoge unaachia kitu ass ass ass ass ass ass ass ass ass.