Tusipokuwa kuwa na jitihada katika maisha yetu na kusubiria miujiza, Basi tutabaki kuzungumzia tuu mafanikio ya watu wengine.
Tupambane huku tukimtanguliza Mungu nasi tutafanikiwa.
Tusipokuwa kuwa na jitihada katika maisha yetu na kusubiria miujiza, Basi tutabaki kuzungumzia tuu mafanikio ya watu wengine.
Tupambane huku tukimtanguliza Mungu nasi tutafanikiwa.View attachment 1168944
Tusipokuwa kuwa na jitihada katika maisha yetu na kusubiria miujiza, Basi tutabaki kuzungumzia tuu mafanikio ya watu wengine.
Tupambane huku tukimtanguliza Mungu nasi tutafanikiwa.View attachment 1168944
My brother success in life comes from miracle(s) believe or not.
Utajiona unabidii kufanya jambo ila mafanikio ni miujiza tu. Jiulize unachoshindwa wewe mwenzio anafanikiwa, mifano ipo mingi.
Wapo waliosoma hawana kazi na kinyume chake. Wapo walioingia kwenye kilimo au biashara hizo hizo ambazo wengine wanafanya mwisho wameshindwa au kufanikiwa. Unapaswa utambue ni bahati yenye muujiza ndani yake.
Usidanganyike mtafute kwanza Mungu utaona maisha yako yakiwa poa sana.
My brother success in life comes from miracle(s) believe or not.
Utajiona unabidii kufanya jambo ila mafanikio ni miujiza tu. Jiulize unachoshindwa wewe mwenzio anafanikiwa, mifano ipo mingi.
Wapo waliosoma hawana kazi na kinyume chake. Wapo walioingia kwenye kilimo au biashara hizo hizo ambazo wengine wanafanya mwisho wameshindwa au kufanikiwa. Unapaswa utambue ni bahati yenye muujiza ndani yake.
Usidanganyike mtafute kwanza Mungu utaona maisha yako yakiwa poa sana.
Tusipokuwa kuwa na jitihada katika maisha yetu na kusubiria miujiza, Basi tutabaki kuzungumzia tuu mafanikio ya watu wengine.
Tupambane huku tukimtanguliza Mungu nasi tutafanikiwa.View attachment 1168944