Nimefuatilia kwa umakini kampeni za UKAWA, ninatambua yafuatayo:
1) UKAWA siyo chama cha siasa na hivyo sera na ilani ya uchaguzi inatumika ile ya CHADEMA.
2) Kwa sababu kuu hiyo, yafuatayo yanajitokeza:
i) Vyama vya CUF, NCCR na NLD, hawajapewa au hawa nafasi ya kutangaza sera na ilani zao
za uchaguzi.
ii) Kiongozi mkuu wa CHADEMA anahusisha mabadiliko na mgombea wao wa Urais. Hii siyo
maana halisi ya mabadiliko Watanzania wanahitaji, labda mabadiliko ya chama kwa kuteua
watu nje ya chama kugombea nafasi za kuingia Ikulu.
iii) Kwa kauli ya Sumaye, ambaye sasa ni mpiga debe mkuu wa mgombea wa Urais na mshauri
mkuu wa UKAWA) UKAWA hawana watu wenye uwezo wa kuongoza nchi, wakishinda
uchaguzi. Hivyo yeye anajiunga nao kuongeza nguvu.
iv) Matatizo ya nchi hii hajaletwa na sera za CCM (ni kama mparaganyo unaoendelea ndani ya
UKAWA, si wa sera za vyama), ila mapungufu ya viongozi ambao wananchi (wewe na mimi)
tuliwaweka madarakani.
Kwa hayo machache, na mengi yamejadiliwa humu jamvini, mabadiliko ya kweli yataletwa na wananchi wenyewe (mimi na wewe) chini ya usimamizi imara wa viongozi wenye hulka hiyo. Kati ya wagombea 8 wa Urais, Wabunge, na Madiwani, ni nani mwenye sifa za kuongoza. Sifa kuu ya usimamizi mzuri wa kazi, uadilifu na uwajibikaji.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Hii mada ilishawekwa hapa jamvini(every word of the thread) kitambo.
Hii mada ilishawekwa hapa jamvini(every word of the thread) kitambo.
Ukawa ni ikawa hivyo hawana Uwezo wowote
Mapovu yote ya nini? Mpaka muige sera zao, Logo zao, muwazushie, kama havitekelezeki watu wataamua Oct 25.Nimefuatilia kwa umakini kampeni za UKAWA, ninatambua yafuatayo:
1) UKAWA siyo chama cha siasa na hivyo sera na ilani ya uchaguzi inatumika ile ya CHADEMA.
2) Kwa sababu kuu hiyo, yafuatayo yanajitokeza:
i) Vyama vya CUF, NCCR na NLD, hawajapewa au hawa nafasi ya kutangaza sera na ilani zao
za uchaguzi.
ii) Kiongozi mkuu wa CHADEMA anahusisha mabadiliko na mgombea wao wa Urais. Hii siyo
maana halisi ya mabadiliko Watanzania wanahitaji, labda mabadiliko ya chama kwa kuteua
watu nje ya chama kugombea nafasi za kuingia Ikulu.
iii) Kwa kauli ya Sumaye, ambaye sasa ni mpiga debe mkuu wa mgombea wa Urais na mshauri
mkuu wa UKAWA) UKAWA hawana watu wenye uwezo wa kuongoza nchi, wakishinda
uchaguzi. Hivyo yeye anajiunga nao kuongeza nguvu.
iv) Matatizo ya nchi hii hajaletwa na sera za CCM (ni kama mparaganyo unaoendelea ndani ya
UKAWA, si wa sera za vyama), ila mapungufu ya viongozi ambao wananchi (wewe na mimi)
tuliwaweka madarakani.
Kwa hayo machache, na mengi yamejadiliwa humu jamvini, mabadiliko ya kweli yataletwa na wananchi wenyewe (mimi na wewe) chini ya usimamizi imara wa viongozi wenye hulka hiyo. Kati ya wagombea 8 wa Urais, Wabunge, na Madiwani, ni nani mwenye sifa za kuongoza. Sifa kuu ya usimamizi mzuri wa kazi, uadilifu na uwajibikaji.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Mchango wenu ni nini kuhusu mada hiyo? Tunapenda kusikia hoja zenu wakuuu. Mpaka hapa naona kama mnalalamika tu! Kuna mtu amedhulumiwa kwa kuwekwa mada hii tena na tena? (kama imewekwa). UKAWA ikawa....hawawezi...weka hoja , toa sababu. ipe maana kauli yako!
Ndiyo maana Invisible anasisitiza kutumia 'Search button' kabla ya kupost kitu.
Kama unahitaji mchango wangu kuhusu hilo tafuta hiyo topic/thread utaikuta huko.