Chama tawala cha ccm kimezidi kupoteza matumaini kwa watanzia mpaka sasa kuamua kukisusa na kuamua kuchagua viongozi wa vyama vya upinzani katika chaguzi ndogo tofauti na ilivyokuwa katika chaguzi zilizopita,,, hiyo ni ishara tosha kwamba mpaka kufikia uchaguzi mkuu 2015 , ccm itakuwa imefutika katika mioyo ya watanzania
Unaweza kuwa na hoja nzuri, lakini kukosekana kwa usanifu wa uandishi kunaweza kuifanya hoja tako isieleweke na hatimae ukadharaulika kama hivi
Watanzania ambao hadi leo wanaipigia kura CCM nawaona kama mataahira hivi!
tuseme inshaalah...lakini nakupa nagalizo kuwa kukwanyuka kwa tawi sio anguko la mti.. ninyi kwa umoja wenu hamjafikisha asilimia 40 ya kura zote , sisi peke yetu tumevuka asilimia 50 sasa hizo ndoto zako za mchana unaziotea mchangani wakati ukilivuta ganja?