Ugonjwa wa kuzeeka haraka (Progeria disease)

James Kasonda

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
84
Reaction score
49
Dunia hii imejaa magonjwa ya kila aina. Progeria disease ni ugonjwa unaomfanya mtu anazeeka kwa kasi ya ajabu.
Ukiangalia hiyo picha hapo chini, huyo binti aliyebebwa ana umri wa miaka 11 tu. Aliyembeba ni baba yake mzazi ambaye ana umri wa miaka 44.
Walokole mpo? Mnaweza kumwombea huyo binti akapona?

Source Dailymail
 


Ontlametse Phalatse ndilo jina hasa la binti huyu aliepozi katika picha na Hon. Jacob Zuma Mwezi March mwaka huu .

Binti huyu alikua akiugua ugonjwa unaosababishwa na matatizo kwenye kiini uhai (genetic),Ugonjwa huo unaitwa [HASHTAG]#PROGERIA[/HASHTAG] .
Kifupi progeria huathiri ukuaji wa mtoto na kumfanya azeeke mapema kabla ya umri.
Utafiti unaonyesha ugonjwa huo humfanya mtoto kufariki akiwa na wastani wa miaka 13
.
na kwa Takwimu inaonyesha huzaliwa mtoto mmoja kwa kila watoto milioni nne.

huyu Binti amefariki Juzi akiwa na miaka 18 katika hospitali ya Dr George Mukhari Academic,Pretoria.
amekua akitumika kuongeza awareness kwa dunia kuhusu tatizo hilo.

kwa south Africa binti huyu alikua akijulikana kama first Lady na ndivyo alivyopenda kuitwa na Kutambuliwa.

Pumzika Binti mzuri.
dunia si sehemu salama ya kuishi.
umeyapigania maisha .
umeyaishi maisha yako.
RIP
 
Aisee inauma sana kwa kweli..Mungu amrehemu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…