wewe inaonekana ni mtu ambaye uwezo wako wa kufikiria na kuchambua mambo ni mdogo sanah..! mimi siwezi kuandika kitu ambacho siko familiar nacho na wala sina data..hizo information ni kutoka kwenye reliable sources!!! Ukiwa una-comment kwenye thread yoyote humu ndani jaribu kufikiria kwanza usikurupuke!