Acheni kulalama mlivyokuwa mnatumia maji kwa fujo mnaacha maji yanamwagika usiku - mchana kutwa mlifikiri mnamkomoa nani. Na hujuma mlokuwa mkiifanya ninyi wanafunzi wa Education na aliyekuwa mkuu wa kaya kabla ya kabi mlitegema nini? Tumiaji maji kwa uangalaifu, tunza majengo na mazingira ya chuo, tuwe wazalendo wa kweli