Huyu Pascal Patrobas ndiye aliyeharibu uchaguzi wa mwenyekiti mara,aliahidiwa na kundi la Heche,Matiko na King Haile kwamba yeye kama mwanasheria ahakikishe safu yao inashinda na pindi itakaposhinda wao pia watahakikisha anapata uenyekiti wa bavicha.Huu ni upumbavu wakaja na pingamizi kwamba Waitara ndiye MM2 ili wamuue kisiasa na Heche aweze kusimamishwa jimbo la tarime 2015