I Imanilelo Member Feb 9, 2012 8 0 Apr 20, 2012 #1 Ubinafsi ndio unawafanya viongozi wa nchi kuiba kodi zetu,ukiangalia kwa makini viongozi wengi wamejenga nyumba nzuri wakati jirani yake analalia mbavu za mbwa,Je wanashindwa kuwasaidia kuwajengea nyumba bora walau vyumba viwili?
Ubinafsi ndio unawafanya viongozi wa nchi kuiba kodi zetu,ukiangalia kwa makini viongozi wengi wamejenga nyumba nzuri wakati jirani yake analalia mbavu za mbwa,Je wanashindwa kuwasaidia kuwajengea nyumba bora walau vyumba viwili?