Ubinafsi!!!

Imanilelo

Member
Feb 9, 2012
8
0
Ubinafsi ndio unawafanya viongozi wa nchi kuiba kodi zetu,ukiangalia kwa makini viongozi wengi wamejenga nyumba nzuri wakati jirani yake analalia mbavu za mbwa,Je wanashindwa kuwasaidia kuwajengea nyumba bora walau vyumba viwili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…