Mimi nina principle yangu moja hata kwenye kudate, nikikutana na hawa 'mabinti wa kisasa' ambao 'you kno nyingiiiiiiiiii' basi najua huyu ni mjasiriamali kwa hiyo kufupisha story namwuliza bei gani 'kifurushi cha usiku kucha' then haooooo kinachofuata ni Isidingo!