Tv flat scree TLC 32" bei laki5

Naomba kujua tofauti kati ya LED na LCD(liquid crystal display)

LED ni Light Emitting Diods. ni tech ya kisasa zaidi screen yake inawashwa na hizo diodes, ni kama indicators kwenye simu au mfano mwingine ni zile taa za kichina. zaidi Google.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…