Hallo ndugu zangu
Leo nataka tuongeleye ugonjwa wa pannick attack
Ugonjwa ambao una sumbuwa watu wengi saana katika dunia hii ya leo
Wengi wanashindwa kutambuwa huu ugonjwa kitu ambacho kinapelekea watu wengi kufikiri kama wana matatizo ya moyo wengine wanaenda mbali wanafikiri wamerogwa kitu ambacho sio kweli
Kwanza tunatakiwa tujue ni vitu gani hasa vinapelekea mtu kupata ugonjwa wa pannick attack
Mtu anapata ugonjwa wa pannick attack akiwa na mawazo mabaya ya vitu mbali mbali
Au akitokewa na kitu ambacho hakutegemea kama kinaweza kutokea katika maisha yake
Hivyo ndivyo vitu ambavyo vinapelekea mtu kupata ugonjwa wa pannick attack kuna mengi saana ambayo yanasabanisha kutokea kwa ugonjwa uo mimi na jua hayo tu
Dalili zake ni zipi
Dalili za pannick attack cha kwanza na ku feel kama unataka kufa hivi yaani kuwa na hofu ya kufa hiyo ndo dalili kubwa saana
Cha pili na magonjwa au kuwa na hisia za maumivu katika akili yako yaani mtu kuhisi kama anaumwa ivi kitu ambacho si kweli bali ni hisia za maumivu tu ndo zinampelekea kuhisi hivo na ukienda hospital docter wana kuambia akuna ugonjwa wowote ambao unakusumbuwa tambuwa ndugu yangu una hisia za maumivu
Tatu ni mapigo ya moyo kwenda kasi mtu ambaye ana ugonjwa wa pannick attack
Akiwa kwenye mawazo mazito lazima moyo weke uende kasi saana
Dawa ya pannick attack nini ?
Dawa ya apannick attack ni karafuu
Karafuu inaponya ugonjwa huu vizuri saana
Pamoja na ushauri wawatu