Doh! Toba yarabi!
Kuna mambo mengine sio ya masikhara mkuu. Hii inaweza kuleta mtafaruku katika jamii yetu na ndoa nyingi kuvunjika. Ni kama Ray C alivyopendekeza ya kwamba Mh. Rais apitishe sheria kama ya nchi za kiarabu marufuku ya mtu kuwa na mpenzi au uhusiano wa mapenzi na mtu ambaye sio mke au mume wake. Hii kwa nchi yetu hapa asilimia 92 ya wanaume tutaishia Ukonga (magereza) kutokana na mfumo wetu wa maisha na tamaduni zilivyo.
Huko Uarabuni wao wanaruhusiwa kuoa wanawake mpaka wanne.
Kwa hili la DNA machine sikuungi mkono mkuu. Acha tulee na kutunza familia.