Gari za aina gani mnazo? Ungeweka hapa kile unachokiuza kisha Sisi wanunuzi tuchague,tuulize bei,tupatane na tufanye biashara!! Biashara gani unaleta hii? Una magari ya watoto?
Nyumbu unazo...nasikia zinaundwa jeshini nahitaji ya 2012, low millage, no accident, na good condition engine, low cc na vigezo vyote vizuri...pm kama unalo