Tunachimba visima

Duuh bora umenipa mwanga aisee.

Shukrani umenipa na comparison
 
Hello vipi??

Mi nlichimba kisima Mkoa wa Pwani, wilaya ya Kibiti mita 60 nikapata maji, nikatosa na PVC kabisa, kuja kuvuta after a week yakaisha.
Sasa nataka nichomoe zile PVC nichimbe pale pale kwenda chini zaidi another 60 meters ili kiwe kisima cha mita 120,
Inawezekana??
Kama ndio, Gharama zako zitakuaje??
 
Ulipima kabla yakuchimba mkuu mana muda mwingine huwa tunashauri watu wapime Kwa watu walio sajiliwa na Pima Visima vinachimbwa nawatu walio sajiliwa ili kuhepu kupata matatizo km haya ila ulini pm nimekujibu mkuu pole San Kiongozi
Sikupima kaka, niliwaambia tu wachimbe mpaka wakute maji,
Kwa kesi yangu nimekuuliza pale juu kua unaweza kunisaidia??
PM sijaona jibu kaka
 
mim npo mvuti naitaji izo huduma iyo elf65 sijaelewa ni gharama ya uchimbaj kivip jarbu kufafanua tuelewe
 
Hilo mkuu haliwezekani. Shimo likishawekwa pvc pipe pamoja na changarawe, huwezi kung'oa tena pvc. Unabidi tu ufanye survey pengine ili uchimbe penginepo tena.
 
Hadi kununua hiyo mitambo hawezi kushindwa kutimiza haya matakwa.
 
1. Kuna haja ya makampuni/ watu binafsi kichangamkia fursa.
2. Wachimbaji wengi hawatafuti wateja.
3. Nchi inategemea Kilimo, ila wauzaji was magari wanashindana kusaka wateja kuliko wadau was Kilimo.
 
Sikupima kaka, niliwaambia tu wachimbe mpaka wakute maji,
Kwa kesi yangu nimekuuliza pale juu kua unaweza kunisaidia??
PM sijaona jibu kaka
Siyo kila eneo lin maji chini ya ardhi.

Upatikanaji wa maji chini ya ardhi haitegemei kina cha kisima. Yaani si lazima uchombe kisima kirefu ndipo upate maji.

Si kila mtu ni mtaalamu wa maji chini ya ardhi. Hii ni fani kama zilivyo fani nyingine kama udaktari. Isipokuwa fani hii imevamiwa na vishoka ambao husababish matatizo kama yaliyokukuta katika jamii.

Kwa usalama wasilianeni na mamlaka husika. Yaani wizara ya maji. Kabla ya kuingia mkataba na mchimbaji ili kijua kama ni mchimbaji aliyesajiliwa au ni kishoka.
 
Hilo mkuu haliwezekani. Shimo likishawekwa pvc pipe pamoja na changarawe, huwezi kung'oa tena pvc. Unabidi tu ufanye survey pengine ili uchimbe penginepo tena.
Dah,
Hasaraaaaa
 
Kwa Dar mko sehemu gani nahitaji huduma
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…