Wakuu Habari
Nina rafik yng amenitaka ushauri,kwa ss ni muajiriwa jijini Mwanza ktk moja ya Tv Station, ila ameitwa katika Usaili wa kazi Serikalin ambao utakw Al khamis ya wik hii,aliemuita amempa uhakika wa Kupata kazi hyo mana yy n Director ktk Nafasi hzo.
So ananiuliza afanye nn