GE2025 Tuma salaam kwa Wajumbe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
858
Reaction score
1,655
Ratiba ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inaonesha kuwa leo Agosti 4, 2025 ni siku ya Mikutano Mikuu ya Kata/Wadi na Jimbo kupiga Kura za maoni za Wagombea wa Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi na Udiwani wa Kata/Wadi upande wa Zanzibar na Tanzania Bara.

Hiyo inamaanisha Wajumbe waanza mchakato wa kuwachagua wawakilishi wao, Je, kiongozi unayemtegemea atatoboa kwa Wajumbe?


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…