Ratiba ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inaonesha kuwa leo Agosti 4, 2025 ni siku ya Mikutano Mikuu ya Kata/Wadi na Jimbo kupiga Kura za maoni za Wagombea wa Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi na Udiwani wa Kata/Wadi upande wa Zanzibar na Tanzania Bara.
Hiyo inamaanisha Wajumbe waanza mchakato wa kuwachagua wawakilishi wao, Je, kiongozi unayemtegemea atatoboa kwa Wajumbe?