Polonium210
Member
- Nov 24, 2011
- 58
- 39
Wadau wa Jukwaa hili nimeona si mbaya nikafungua huu uzi ili kwa wale wataalamu wa Mambo ya Mawasiliano Pepe (Telecommunications ) tuweze kushare Ujuzi na Maexperice tuliyo nayo ili Madogo waje Kuchota Ujuzi. Naandaa somo kuhusu Mambo yafutayo
1. What is Communications
2. Types of Communications (Analogue V/S Digital)
3. Modulations (Hapa tutagonga both analogue and Digital Modulatio )
4. Transmission Media (Hapa tutakula kidogo Mambo ya Propagation, Link Budget, Link Design)
Somo likieleweka tutakwenda kujifunza Information Theory (Ambayo ni Muhimu sana katika Kesign any Communication System
Niite Polo
1. What is Communications
2. Types of Communications (Analogue V/S Digital)
3. Modulations (Hapa tutagonga both analogue and Digital Modulatio )
4. Transmission Media (Hapa tutakula kidogo Mambo ya Propagation, Link Budget, Link Design)
Somo likieleweka tutakwenda kujifunza Information Theory (Ambayo ni Muhimu sana katika Kesign any Communication System
Niite Polo