zubedayo_mchuzi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2011 Posts 4,873 Reaction score 1,220 Jan 3, 2013 #1 Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo, Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma. Walio karibu watujuze
Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo, Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma. Walio karibu watujuze
N Nguto JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 3,668 Reaction score 1,797 Jan 3, 2013 #2 Sasa hilo kosa la treni au mtu aliyekuwa anadandia? Bdilisha kichwa cha habari. Treni halijajeruhi hapa!! zubedayo_mchuzi said: Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo, Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma. Walio karibu watujuze Click to expand...
Sasa hilo kosa la treni au mtu aliyekuwa anadandia? Bdilisha kichwa cha habari. Treni halijajeruhi hapa!! zubedayo_mchuzi said: Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo, Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma. Walio karibu watujuze Click to expand...
zenmoster JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 951 Reaction score 202 Jan 3, 2013 #3 zubedayo_mchuzi said: Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo, Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma. Walio karibu watujuze Click to expand... Kaka sidhani kama treni ya Mwakyembe inakosa...huyo mtu aliyedandia ndo anamakosa...a
zubedayo_mchuzi said: Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo, Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma. Walio karibu watujuze Click to expand... Kaka sidhani kama treni ya Mwakyembe inakosa...huyo mtu aliyedandia ndo anamakosa...a
R rugo Member Joined Jun 20, 2012 Posts 28 Reaction score 12 Jan 4, 2013 #4 Kwa nn useme treni ya Mwakyembe? Watanzania tumekuwa na mambo ya ajabu kweli, mara samaki wa magufuli.
Kwa nn useme treni ya Mwakyembe? Watanzania tumekuwa na mambo ya ajabu kweli, mara samaki wa magufuli.
Elisha Ray JF-Expert Member Joined Mar 19, 2012 Posts 323 Reaction score 94 Jan 4, 2013 #5 Treni haikumjeruhi bali amejijeruhi mwenyewe kwa kutaka kudandia treni.. Badili heading bana...
C COPPER JF-Expert Member Joined Dec 28, 2012 Posts 2,697 Reaction score 1,792 Jan 4, 2013 #6 Na wasipoacha mambo hayo watakufa sana, treni sio coaster.
Borat69 JF-Expert Member Joined Jun 17, 2012 Posts 2,522 Reaction score 1,761 Jan 6, 2013 #7 Kwa mujibu wa mleta habari mimi naona treni ndio imejeruhiwa hapo. Pole zangu za dhati ziifikie treni na naitakia afya njema.
Kwa mujibu wa mleta habari mimi naona treni ndio imejeruhiwa hapo. Pole zangu za dhati ziifikie treni na naitakia afya njema.
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,046 Jan 6, 2013 #8 Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo, Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma. Walio karibu watujuze Click to expand... Mkuu zubedayo_mchuzi hujasomeka vizuri! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo, Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma. Walio karibu watujuze Click to expand... Mkuu zubedayo_mchuzi hujasomeka vizuri!
zubedayo_mchuzi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2011 Posts 4,873 Reaction score 1,220 Jan 6, 2013 Thread starter #9 Borat69 said: Kwa mujibu wa mleta habari mimi naona treni ndio imejeruhiwa hapo. Pole zangu za dhati ziifikie treni na naitakia afya njema. Click to expand... Kijana acha utani...machuma yale.
Borat69 said: Kwa mujibu wa mleta habari mimi naona treni ndio imejeruhiwa hapo. Pole zangu za dhati ziifikie treni na naitakia afya njema. Click to expand... Kijana acha utani...machuma yale.
zubedayo_mchuzi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2011 Posts 4,873 Reaction score 1,220 Jan 6, 2013 Thread starter #10 TUKUTUKU said: Mkuu zubedayo_mchuzi hujasomeka vizuri! Click to expand... Mkuu Tukutuku hujanielewa vipi... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
TUKUTUKU said: Mkuu zubedayo_mchuzi hujasomeka vizuri! Click to expand... Mkuu Tukutuku hujanielewa vipi...
gpblaze JF-Expert Member Joined Jun 25, 2011 Posts 304 Reaction score 14 Jan 6, 2013 #11 Unatupotosha
Borat69 JF-Expert Member Joined Jun 17, 2012 Posts 2,522 Reaction score 1,761 Jan 6, 2013 #12 zubedayo_mchuzi said: Kijana acha utani...machuma yale. Click to expand... Mzee Kama unajua Yale ni machuma ulienda kudandia ya nn?
zubedayo_mchuzi said: Kijana acha utani...machuma yale. Click to expand... Mzee Kama unajua Yale ni machuma ulienda kudandia ya nn?
Anheuser JF-Expert Member Joined Mar 23, 2011 Posts 1,944 Reaction score 665 Jan 6, 2013 #13 kazi ya Mungu haina makosa