Transter ya admission

Jahmercy

Senior Member
Joined
Sep 19, 2010
Posts
116
Reaction score
79
Wakuu naomba kuuliza kama kuna anaye fahamu kama inawezekana kuhamisha admission kutoka chuo kimoja kwenda kingine. Na kama inawezekana process ni zipi... Mfano umechaguliwa mzumbe ila unataka uhamishiwe TIA
 
Wakuu naomba kuuliza kama kuna anaye fahamu kama inawezekana kuhamisha admission kutoka chuo kimoja kwenda kingine. Na kama inawezekana process ni zipi... Mfano umechaguliwa mzumbe ila unataka uhamishiwe TIA
Samahan nimekosea title nilimaanisha TRANSFER
 
Inawezekana na hii huwa ni baada ya round zote za machaguo ya vyuo kuisha na pia huko unapotaka kuhamia kama kuna nafasi na huwa unalipia elf 30.All the best
 
Asante mkuu. Na hiyo elf 30 unalipia wap?
 
Transfer ya degree bado tulia utaliwa hela saivi
 
Wakuu naomba kuuliza kama kuna anaye fahamu kama inawezekana kuhamisha admission kutoka chuo kimoja kwenda kingine. Na kama inawezekana process ni zipi... Mfano umechaguliwa mzumbe ila unataka uhamishiwe TIA
Nenda TIA KACHUKUE BARUA INAYOONESHA KWAMBA NAFASI IPO THEN RUD TCU WAPE. BUT NAHIS KUNA KIASI CHA KULIPA. ME MDOGO WANGU KAFANIKIWA KUHUMAMA FROM IFM TO USTAWI. BUT UFANYE FASTA KABLA MASOMO HAYAJAANZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…