Toyota Prado for sale

franktz

Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
13
Reaction score
6
Toyota Prado ya mwaka 2007,engine ya 5L,manual!ipo katika hali nzuri sana!serious buyers PM for more details
 
Wakuu gari ipo dar,bei ni tshs 40,000,000/-,maongezi yapo!picha zinakataa kuupload,ni Pm email zenu niwatumie!
 
gari ya wizi nini? mbona unaogopa kuweka picha? maana ndo zenu.
 
Mkuu tangazo mbona halijakamilika hata kama kuweka picha imekuwa shida japo wasifu basi wa hilo gari mfano:-
1. Toyota Prado
2. Cc
3. Inatumia mafuta gani(Diesel/Gasoline)
4. Stering ipo kulia/kushoto
5. Ina nini ndani music,air n.k
6. Bei yake
7. Mwaka wa matengenezo hiyo gari

Angalau bila picha mtu anaweza kwa kiasi kikubwa kuelewa unachotaka kuuza.
Picha huwa idadi kubwa zinatushinda kuweka ila fafanua kama nawe ulivyoinunua kule Japan.
 
Toyota Prado ya mwaka 2007,engine ya 5L,manual!ipo katika hali nzuri sana!serious buyers PM for more details
Ukubwa wa Injini (CC), Odometre inasomaje (mileage), nk ni muhimu sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…