Toyota passo inauzwa

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
95,873
Reaction score
136,780
Inauzwa 4.8 mln(fixed)kwa mwenyewe ambaye ni mmiliki haidaiwi vibali tatizo lake ni gas ya ac imeisha ni ya kujaza passo ni ya piston 4 kwa mawasiliano piga simu 0715591141 nku link na muuzaji Njoo ujikamatie gari gari inapatikana Dar es salaam
 
Picha....zake hizi hapa
 

Attachments

  • IMG-20170310-WA0010.jpg
    63.8 KB · Views: 73
  • IMG-20170310-WA0009.jpg
    64.7 KB · Views: 77
  • IMG-20170310-WA0033.jpg
    48.5 KB · Views: 79
Mwambie kuna tatu unusu hapa akiwa tayari PM fasta
 
kuna jamaa kasema ana 2m cash, kama vipi mfanye naye biashara
 
Mi na mbili unusu Kama uko tayari nitafute namba hii 0713880711
 
Watu mnadharau! 2ml kwani imekuwa pikipiki hiyo?
Usijali ni fedha nayo nyingi....Sema tu haijafikia thamani ambayo inaweza nunulia kipasso hicho...we wazoeee tu

Ova
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…