Analeta tangazo nampigia simu toka jana mpaka muda huu hapokei....watu wengine wa ajabu sana. Sasa umeweka namba za simu za Nini?
.
Asiyeamini ampigie huyu jamaa Sasa hivi aone kama atapokea simu, hata Kama umeshauza unapokea simu unamwambia mwenzako kwamba UMESHAUZA