Don njinji
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 688
- 1,556
Haujui kuwa gereji ni pia ofisi za watu!!?au Kila gari iliyo gereji unahisi ni mbovu!!?
Halafu hapo ni parking ya magari sio gereji Kama unavyofikiriHaujui kuwa gereji ni pia ofisi za watu!!?au Kila gari iliyo gereji unahisi ni mbovu!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Gereji ni sehemu ya magari mabovuHaujui kuwa gereji ni pia ofisi za watu!!?au Kila gari iliyo gereji unahisi ni mbovu!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka nifanyaje ili uuone huo userious unaoutakaCheating. Haupo serious muuzaji.
Nipo sawa kabisa ila najibu kutokana na Aina ya swali...Sasa Kama mtu ashasema nauza gari bovu mkuu mtu huyo nimjibu nn
Halafu lioshe, chafu sana au kwa sababu bovu
Mkuu kwenye biashala usifanye haya malumbano umeshaweka tangazo muhitaji wa kweli akiona tangazo atalifanyia kazi ila nina ushauri kidogo.
jamaa asipofuata ushauri huu atakuwa bonge la kiazi ulayaMkuu kwenye biashala usifanye haya malumbano umeshaweka tangazo muhitaji wa kweli akiona tangazo atalifanyia kazi ila nina ushauri kidogo.
Hiyo gari hapo ilipo itoe ifanyie usafi kisha iweke sehemu penye mandhari nzuri kisha ipige tena picture hizi za zamani zitoe,serious buyer humu wapo ila jua mazingira utakapotangazia biashara yako yatafanya ipewe thamani kubwa au ndogo.
Good luck!
Sent using Redmi Note 5
Aisee dah hahahahaa muuzaji kaweka tangazo huku kajipanga kabisa sio kwa majibu hayo,Halafu lioshe, chafu sana au kwa sababu bovu
Jamaa hajui marketing kabisa anasema gari ni zima halafu kalipigia picha gereji huku chini kwenye matairi kaweka mawe halafu gari chafu kinomaAisee dah hahahahaa muuzaji kaweka tangazo huku kajipanga kabisa sio kwa majibu hayo,
Kwa hapa ni ngumu kupata mnunuzi kwa majibu yake