Dingswayo JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 4,019 Reaction score 2,930 Jun 25, 2014 #1 Nimejiunga na Tigo na kuchukua kifurushi cha 1 GB cha masaa 24. Ajabu ni kwamba licha ya kutumiwa ujumbe wa kuwa nimejiunga na kifurushi hicho, mpaka sasa sijapata mtandao wao. Nimehakikisha tena na tena kuwa settinngs zote ziko sawa.
Nimejiunga na Tigo na kuchukua kifurushi cha 1 GB cha masaa 24. Ajabu ni kwamba licha ya kutumiwa ujumbe wa kuwa nimejiunga na kifurushi hicho, mpaka sasa sijapata mtandao wao. Nimehakikisha tena na tena kuwa settinngs zote ziko sawa.
mfyatuko Member Joined Jun 13, 2014 Posts 14 Reaction score 1 Jun 25, 2014 #2 Duuh! Pole hamia voda mkuu
U Usoka.one JF-Expert Member Joined Nov 20, 2013 Posts 770 Reaction score 374 Jun 25, 2014 #3 mfyatuko said: Duuh! Pole hamia voda mkuu Click to expand... Huduma mbovu kwa tigo usilalamike ni kawaida tu.
mfyatuko said: Duuh! Pole hamia voda mkuu Click to expand... Huduma mbovu kwa tigo usilalamike ni kawaida tu.