thread ni link yako mwenyewe unayoanzisha and then unasubiri wengine wachangie,kama swali lako linavyouliza hiyo ndiyo thread.Post ni mchango wako kwa thread za watu wengine,kama nilivyofanya kwa swali lako.Lakini thread kwakuwa thread inakuwa posted,nayo pia ni post.DISCLAIMER Maana hii imejikita katika mazoea zaidi si ya kitaalamu