We kanafiki tu na ka Uzi kako, yaaani kweli Leo jk unamuanika kuwa ni kiongozi bora bila aibu? Ni bora Mungu awaadhibu maana nyie ni sawa na masheitwani hamnaga soni kabisa,
Rushwa, ubabe wa kifedha, na ukandamizaji wa maskini, na dharau za mafisadi ( rejea vijisenti), sasa umekinga kifua kuchapisha pumba kama hzi, hahaaaa!! Ni mda tena wa kumsafisha jk tena kwa shower jelly!! Kama mzee lowasa mlivyomsafisha!!