Wabongo si mpaka mlazwe ndo unaletewa embe!
Lakini, wengi wetu, kama tungefuata kanuni za afya za ulaji ulio recommended, wala sura zetu zisingekuwa za huzuni muda wote kama hivi!
Mtu unacheka unaonekana unalia, kumbe mwilini umekosa ma`leafy-greens, pesheni, embe, juicejuice,
chungwa, papai, maziwa na vitu kama hivyo!...Du, ndo bongo yetu hii!