Tetesi za usaili/interview Ardhi University

RJ45

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2014
Posts
340
Reaction score
119
Salaam wakuu.

Mwishoni mwa mwaka jana chuo kikuu cha ardhi kilitangaza nafasi za kazi na mwisho wa kutuma maombi ilikuwa ni tarehe 27/12/2020.

Naomba kama kuna waliofanikiwa kuitwa kwenye usaili/interview watufahamishe maana walisema only shortlisted candidates will be contacted.
 
Hakuna aliyeitwa?
 
Majina huwa yanachakua mda mrefu kidogo. Mfano mi kuna kazi niliomba oktoba nimekuja kuitwa juzi tu apo wiki hii. Ivyo kua mpole
 
Majina huwa yanachakua mda mrefu kidogo. Mfano mi kuna kazi niliomba oktoba nimekuja kuitwa juzi tu apo wiki hii. Ivyo kua mpole
Mbona hutumii ile ID?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…