7.Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dr Wanyancha bodi ya barabaraJul 28, 2016.
8.Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anne Kilango Malecela Apr 11,2016.
Balozi Sefue ang’olewa Ikulu
Kilango atenguliwa
Kitwanga atenguliwa
Karibu Mkuu nishati na madini atenguliwa
Nape atenguliwa
Lawrence mafuru atenguliwa
Balozi Sefue ang’olewa Ikulu
Kilango atenguliwa
Kitwanga atenguliwa
Karibu Mkuu nishati na madini atenguliwa
Nape atenguliwa
Lawrence mafuru atenguliwa
List ni ndefu sana huyu kavunja rekodi ya kutengua ndani ya mwaka mmoja ukilinganisha na rekodi ya Marais wanne waliomtangulia. Mbaya zaidi wakati mwingine anatengua bila kuwepo sababu ya kufanya hivyo mfano Nape, halafu pale kunapokuwa na sababu ya kutimua anakuja juu na blah blah nyingi sijui nilienda kuchukua fomu mwenyewe siambiwi na mtu blah blah blah blah mfano Bashite wa Kolomije na mpango wa fedha.