Iyo ni simu au takataka huoni aibu kutumia takataka iyo unaiita simu???
Kumbe ndio maana...
=====
Stanley Mitchell said:
β
Habari za mwaka
mpya wadau
-Naombeni msaada wenu nina miaka 23 nimekua na tatizo la nguvu zetu kwa
muda mrefu sana. Sijawai kusex mpaka sasa.
-Nikiwa na hamu nikifika kwa demu after foreplay hamu inakata kabisa.
-Si-erect 100% enough kwa penetration.
-Punyeto napiga sometimes then na-cumm tu kama kawaida ( naamini
punyeto sio chanzo kwani tatizo lilianza hata kabla sijajua punyeto)
-pia naamini sio tatizo la kisaikolojia naamini ni tatizo la "kiufundi"
zaidi.
-siamini kama nitafiti kwenye definition ya "hanisi" kwa kua
'nashutuka' japo sio tosha kwa kujamiiana.
Hivyo basi naombeni kwa hali na mali wadau wa jamii hii kubwa kunisaidia
sana kwani naamini miongoni mwetu kuna walishapatwa na tatizo kama
langu ama kwa jamaa zao .
Nahitaji msaada wenu kwani pamoja na mambo mengine naona umri wa kuoa na
kua na familia ushafika ama bado kidogo (inategemea).
Napatikana kwa urahisi sana Dar ama mikoa ya Kaskazini (moshi, arusha,
tanga sio mbaya pia) japo haina shida msaada ni popote pale.
Asante wadau na Mungu awabariki sana.