Mchome ray
Member
- Feb 22, 2012
- 13
- 1
na siku waliyoonesha kampeni ya cdm ni pale tu mgombea nasari alipofanyiwa hujuma kwa kupangiwa mkutano saa 4-6 mchana ktk viwanj a vya shule ya msingi wakati wanafunzi wakiwa wanaendelea na masomo.. Kwa busara za cdm na mgombea wake wakaamua kutofanya mkutano wa hadhara... Yaani tbcc-magamba wakaona ndo habari ya kuitangaza, na wameisusia mikutano mingine yote... Na kuirusha ile ya siyoi shoga tu... Hawa tbcc-magamba ni wa****e tu, hakuna lolote..
Muwe mna suggest kabisa, cku cdm tukiingia magogon wafanyakaz waliopo wa tbc tutawafanya nn?