Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

Watanzania wenzangu,hivi mpaka sasa hamuoni kuwa kuna umuhimu wa PhD za watu kuhakikiwa?

Naomba mawazo yenu katika hili.
PhD hutolewa na mamlaka inayotambulika. Ni TCU tu wenye mamlaka ya kuhakiki degrees. Kama mtu umesoma nje ya nchi ( mfano mi nimesoma masters, na PhD nje ya nchi) napaswa kusubmit vyeti vyangu vihakikiwe TCU ili kuona kama vyuo vilivyo nipa hizo elimu zinatambulika ili kujenga uhalali wa degree zangu
 
Hujanisaidia chochote hapa maana hujajibu hoja.
 
Watanzania wenzangu,hivi mpaka sasa hamuoni kuwa kuna umuhimu wa PhD za watu kuhakikiwa?

Naomba mawazo yenu katika hili.
Tuoneshe kwanza cheti chako na cha mbowe vya form four
Ni Tanzania tu,utapata mtu hakufika hata kidato cha nne,anahoji uhalali wa elimu ya Phd holder-Harrison Mwakyembe.
 
JPM alifanyia kazi mjadala huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…