TANZANIA: National's 5 Year Development Plan 2016 - 2020

Hakuna jipya zaidi ya maneno matamu yaliyojazwa humo. Nina uhakika wabunge wa CCM hawajui hata kumeandikwa nini huko.
Hadi sasa mnatakiwa muwe mmeshatimiza 20% ya huo mpango. Ila nnavyoona mmetimiza -70% ya huo mpango wenu.
Fedha mtatoa wapi wakati mapato yanashuka? Uchumi unayumba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…